Posts

JITAMBUE,JITAFAKARI,CHUKUA HATUA & BADILI MAISHA YAKO!!

Image
ukiona huna usemi na maisha yako,ulevi,uvutaji,ufuska,kundi rika,ufukara,unakataliwa na jamii,umetengwa,mipango haifanikiwa mara kwa mara,jua tayari uko kifungoni na katika hali hiyo kamwe hutaweza piga hatua maishani,usisite lazima ujifikie namna ya kutoka . maarifa ya namna ya kutoroka katika gereza hilo!!!Wake up!Your Comrade-Pius Mushi…Break Out Free!!!!!kikwazo kikubwa cha mafanikio ni wewe mwenyewe na vile uishivyo!!!- Kuwa mtu zima haitokani tu umri wa mtu,kuwa mtu mzima ni hatua mtu anayofikia baada ya kujitadhimini na kuchukua hatua mhimu katika maisha ya mtu binafsi..ni uamuzi wako kukua au kubaki mtoto. Sina shaka ya kwamba matatizo yaliyokuwa yakiniandama siku za nyuma yalikuwa ni mahususi kwangu tu,bali na hatua katika maisha na vijana wengi aidha wako kwenye hali hiyo ama wamekwisha ivuka au wanaelekea, Hakuna kipindi kigumu kama ujana ,napenda kusema hivyo kwa sababu ni wakati ambao kijana anakutana na mambo angali maarifa yake ni duni.Makundi rika,pom...

ULAJI WA KITIMOTO NI HATARI SANAA KWA AFYA YA BINADAMU

Image
Kwa ufupi Hayo ni matokeo ya utafiti uliofanywa na wanasayansi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) hivi karibuni katika wilaya za Mbulu, Kongwa, Sumbawanga, Mpanda, Iringa, Urambo na Mbozi ambako walibaini kuwa ulaji wa nyama hiyo maarufu kama kitimoto ni hatari zaidi kwa afya ya binadamu. Dar es Salaam.  Hatari! Watu wanaokula nyama ya nguruwe ambayo itakuwa haijaivishwa vizuri wako katika hatari ya kuambukizwa minyoo aina ya tegu na magonjwa mbalimbali ukiwamo wa kifafa. Hayo ni matokeo ya utafiti uliofanywa na wanasayansi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) hivi karibuni katika wilaya za Mbulu, Kongwa, Sumbawanga, Mpanda, Iringa, Urambo na Mbozi ambako walibaini kuwa ulaji wa nyama hiyo maarufu kama kitimoto ni hatari zaidi kwa afya ya binadamu. Kiongozi wa jopo la watafiti hao, Mhadhiri wa UDSM, Chacha Mwita alisema kati ya watu 1,036 waliofanyiwa vipimo, 150 walikutwa na maambukizi ya minyoo hiyo na kwamba walibaini kuwepo kwa mzunguko mkubwa wa miny...

HERI KWA SIKU YA KUZALIWA PRODUCER BEN LEE

Image
   KATIKA PICHA JUU HAPO HUYO NDO BEN LEE Leo ni Siku ya pekee kwa Producer BEN­_LEE ndani ya Studio ya BL_MUSIC. Studio ya BL_MUSIC iko Mkoani Dodoma, Mtaa wa KIKUYU, maeneo ya karibu na chuo kikuu cha St. Johns. Siku kama ya leo ni siku ambayo alizaliwa, hivyo basi Kwa heshima na tahadhima management nzima ya mfaraguzi media Inapenda kumtakia heri ya sikukuu ya kuzaliwa, na Mungu azidi kumpa maono katika Karama au talanta ya Music production piya na mafanikio mengi, kwamaana Wasanii ni tegemezi kwake ususani swala zima la uaandaaji wa Nyimbo mbali mbali kama vile BONGO FLEVA, HIP HOP, NYIMBO ZA INJILI KAMA KWAYA, N.K Pichani: Kushoto; BEN LEE, katikati; BENNITO, nyuma; DIZZOkulia; MFARAGUZI Producer BEN LEE Mbali na kutaharisha muziki yaani ugongaji wa midundo na swala zima la production, ni Video directer, alishafanya videos kazaa ambazo zingine ziko katika mataharisho yaani ya uchambuaji, na moja ambayo ilishatoka ni yake mwenyewe.  BEN LEE ni ...

UMRI MZURI KWA MWANAMKE KUPATA MTOTO (KUZAA)

Image
Tamaa ya kutaka kufanikiwa maishani imeenea duniani kote. Hali imebadilika sana, jinsia ya kike inataka kujitosheleza kwa kila kitu. Lakini mabadiliko ya kibaiolojia yanabaki vile vile mfano kuzeeka nk. Mafanikio wanayowaza wengi ni utajiri wa pesa na elimu kubwa. Hii imesababisha wanawake wengi kusoma sana na kufanya kazi kupita kiasi, hata kupuuzia suala la kuzaa mapema. Wengi wanashtuka ikiwa umri wao ni zaidi ya miaka 30, ndio wanakuwa na tamaa ya kuzaa. Kuchelewa kwao kuzaa kunaweza kuwa kwa taabu ama kuzaa watoto wenye matatizo mengi ya kiafya. Kwa miaka mingi, wataalamu wengi wa afya ya uzazi bado wanaamini miaka 20-35 ndio umri sahihi kushika mimba na kuzaa. Pia, wengi wakifikiri matatizo mengi ya uzazi huongezeka baada ya miaka 35 na huwa zaidi baada ya miaka 40. Kwa wenzi wawili wanaoishi pamoja, kuchelewa kuzaa huathiri pia wenza wa kiume, ambapo mbegu za uzazi za mwanaume hudhorota kila mwaka upitao na watoto wamaotokana na wanaume wazee huwa na hatari zaidi...

NGONO KWA NJIA YA MDOMO HUSABABISHA SARATANI

Image
Mdomo ukliwa umeathiriwa na bakteria kufuatia kutumiwa kama njia ya  kufanya mapenzi  Kwa ufupi Takwimu kutoka Taasisi ya Saratani ya Ocean Road zinaonyesha ongezeko la saratani ya mdomo na koo kwa kiasi kikubwa kutoka kesi 167 mwaka 2006 hadi 277 mwaka 2012.

The Origin of AIDS and HIV May Not Be What You Have Learned

THE FRACTURE AND SPLINTING

Image
The fracture  or Splinting is the breaking of a part, especially a bone. a break in continuity of bone; it may be caused by trauma, twisting due to muscle spasm or indirect loss of leverage, or by disease that results in osteopenia . See illustration. Treatment . Immediate first aid consists of splinting the bone with no attempt to reduce the fracture; it should be splinted “as it lies,” which means supporting it in such a way that the injured part will remain steady and will resist jarring if the victim is moved. Later it will be treated by reduction , which means that the broken ends are pulled into alignment and the continuity of the bone is established so that healing can take place. Fracture healing is truly a process of regeneration. Fractures heal with normal bone, not with scar tissue. Closed reduction is performed by manual manipulation of the fractured bone so th...